Hizb ut Tahrir / Wilayah Iraq: Rajab kati ya Jana na Leo!
- Imepeperushwa katika Iraq
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Wilayah Iraq: Rajab kati ya Jana na Leo!
Hizb ut Tahrir / Wilayah Iraq: Rajab kati ya Jana na Leo!
Kuhusu Khilafah, jaribio lako la kutia matope maji lilionekana wazi zaidi ulipopotoka wakati wa majadiliano yako ya baada ya muhadhara. Kwanza, ombi lako la mila za chuki dhidi ya Uislamu linawachora Waislamu kama daraja za tano katika nchi hii, inayothibitishwa kupitia kuwepo kwao tu, inazidi mipaka yote ya usawa na kutokuwa na upendeleo. Muhadhara huu kamwe haukuwa kuhusu kuwasilisha ukweli bali kuhusu kuendeleza ajenda.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon yaandaa kongamano lake la kila mwaka kwa kichwa: “Kuhalalisha Mahusiano na Kujisalimisha au Ahadi ya Mwenyezi Mungu na Dola ya Kiislamu?!” Kwa mnasaba wa kumbukumbu uchungu ya miaka 105 ya kuvunjwa kwa dola ya Khilafah mnamo 28 Rajab 1342 H sawia na 3 Machi 1924 M
Mashababu wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan huko Nile Mashariki jijini Khartoum walifanya, mnamo Jumamosi, 10/01/2026, kisimamo na hotuba ya hadhara ya kisiasa huko Souq Sitta. Hotuba hiyo ilitolewa na Ustadh Hammad Al-Dayi, mwanachama wa Hizb, ambapo alielezea ubora wa Ummah huu, ambao ulitimiza wajibu wake katika kuwaongoza wanadamu chini ya Dola ya Khilafah, hadi ilipovunjwa na mkoloni kafiri mnamo Rajab 1342 H. Aliukumbusha Ummah kuhusu tukio hili uchungu, na jinsi, kwa kuvunjwa Khilafah, ulivyompoteza Imam ambaye ni ngao, umoja wake na kuchanika vipande vipande, na mkoloni kafiri akapata udhibiti juu yake ili kugawanya ardhi zake.
Kwa mnasaba wa tukio la kupita miaka 105 ya hijriya tangu kuvunjwa kwa Dola ya Waislamu, Khilafah mnamo 28 Rajab 1342 H, na kama mwendelezo wa kuwakumbusha Waislamu faradhi ya kufanya kazi ya kuiregesha kama Dola ya Khilafah Rashida kwa njia ya Utume, Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan yatoa heshima kukualikeni kuhudhuria kongamano lenye kichwa: “Sudan Kati ya Sera ya Mipaka ya Damu na Sera ya Kuwaunda Watu Kuwa Ummah Mmoja”
Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 105 ya kuvunjwa kwa Khilafah, wanachama wa Hizb ut Tahrir walifanya mkutano na hotuba ya hadhara katika mji la El Obeid, mji mkuu wa Kordofan Kaskazini, mnamo Jumatano, 18 Rajab 1447 H, sambamba na 7 Januari 2026 M, katika uwanja wa Msikiti wa Soko la Al-Salihin.
Ndani ya muundo wa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 105 ya kuvunjwa kwa Dola ya Khilafah mnamo Rajab 1342 H, na kama ukumbusho kwa Ummah wa tukio hili chungu, si kwa lengo la kulia juu ya historia tukufu iliyopotea, bali ili kuchochea azma ili Ummah uweze kutimiza wajibu wake wa kusimamisha Khilafah ili kuishi chini ya sheria za Mola wa Mlezi Walimwengu na kuondoa dhambi ya kifo cha Jahiliyyah kutoka shingoni mwake, Mashababu wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan walifanya matembezi kadhaa katika miji tofauti kote Sudan, kufuatia swala ya Ijumaa mnamo 20 Rajab 1447 H, sawia na 9 Januari 2026 M
Angazo la amali zilizoandaliwa na Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Tunisia kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 105 ya kuvunjwa kwa Khilafah mnamo tarehe 28 Rajab 1342 H.
Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 105 ya kuvunjwa kwa Khilafah, Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Jordan yatoa heshima ya kukualikeni kwenye semina ya kisiasa ya kidijitali yenye kichwa: “Suluhisho Msingi na Kadhia Nyeti ya Umma”
Hizb ut Tahrir / Canada imeandaa kongamano la Khilafah la kila mwaka chini ya kichwa: “Kuchomoza kwa Alfajiri ya Khilafah… Mumejiandaaje kwa ajili Yake?” kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 105 H na miaka 102 M ya kuvunjwa kwa dola ya Kiislamu (Khilafah)