Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 405
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Takriban wasomi 20 walimwandikia barua Waziri Mkuu Modi wakitaka kupigwa marufuku kwa vitabu vinavyohusiana na Uislamu wa kisiasa katika vyuo vikuu vinavyofadhiliwa na serikali. Pia kumekuwepo na visa vyengine vya vijana wa Kiislamu kukamatwa kwa kushukiwa kujihusisha na ISIS.
Mauaji ya wanawake wadogo yanaendelea. Watu hujishughulisha na sababu na dhurufu za uhalifu mmoja hadi uhalifu mwengine utakapotekelezwa. Matukio ya kikatili yaliwafanya watu washangae kuhusu sababu za vurugu hili la kupindukia, na kuwafanya wadai kutekelezwa kwa aina za juu zaidi za adhabu kama zuio.
Tangazo la uamuzi wa kubadilishana uteuzi wa mabalozi lilichukuliwa kama moja ya hatua za mchakato wa kuhalalisha mahusiano unaoendelea kati ya Uturuki na umbile nyakuzi la Kiyahudi tangu mwaka jana. Wakati Waziri Cavusoglu aliposema: "Kama Uturuki, tumeamua kumteua balozi huko Tel Aviv.
Maandamano ya jioni katika mji wa Idlib kupinga kauli za wizara ya mambo ya nje ya Uturuki kuhusu maridhiano na utawala wa Syria!
OGN TV: Dori ya Wanawake wa Kiislamu katika Mwamko wa Ummah Huu
Wakati Waziri wa Mambo ya Nje, Cavusoglu akijibu maswali ya waandishi wa habari katika siku ya mwisho ya Mkutano wa 13 wa Mabalozi uliofanyika jijini Ankara, ambayo ilikuwa ni jana,
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Mevlut Cavusoglu alifichua mnamo siku ya Alhamisi kwamba alikuwa na mazungumzo mafupi na Waziri wa Mambo ya Nje wa utawala wa Syria, Faisal Miqdad,
Jumatatu tarehe 25/08/2022, wakaazi wa mji wa mashariki wa Beni katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) walivamia afisi za Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kuleta Utulivu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (UN-MONUSCO) wakiandamana kutokana na kushindwa kwa miradi hiyo ya Umoja wa Mataifa kulinda maisha yao.
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya (IEBC) imemtangaza naibu wa Rais William Samoei Ruto kuwa Rais mteule katika uchaguzi uliomalizika hivi punde.