Hizb ut Tahrir / Amerika: Pongezi kwa mnasaba wa Idd ul-Adha Al-Mubarak 1446 H
- Imepeperushwa katika Amerika
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Pongezi kutoka kwa Hizb ut Tahrir / Amerika kwa mnasaba wa ujio wa Idd ul-Adha 1446 H.
Pongezi kutoka kwa Hizb ut Tahrir / Amerika kwa mnasaba wa ujio wa Idd ul-Adha 1446 H.
Pongezi kutoka kwa Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia kwa mnasaba wa Idd ul-Adha 1446 H.
Pongezi kote ulimwenguni kutoka kwa kundi la wabebaji Dawah kutoka Hizb ut Tahrir kwa mnasaba wa Idd ul-Adha 1446 H.
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Pongezi za Kitengo cha Wanawake kwa Mnasaba wa Idd ul-Adha 1446 H
Kwa kuzingatia mauaji ya kikatili (mauaji ya halaiki) ambayo yamekuwa yakiendelea kwa zaidi ya miezi 19, yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza uliozingirwa, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi na kujeruhiwa kwa wanaume na wanawake wa Kiislamu zaidi ya elfu 185 hadi sasa, Hizb ut Tahrir/Denmark iliandaa kisimamo jijini Copenhagen cha kuwanusuru watu wetu mjini Gaza, na Palestina yote inayokaliwa kwa mabavu kuanzia mto wake hadi bahari yake.
Hizb ut Tahrir/Wilayah Lebanon iliandaa maandamano ya Takbir, Tahlil, na Tahmid katika mji wa Tripoli, Syria, chini ya kauli mbiu "Tuko Pamoja nawe, ewe Gaza, tukipiga Takbir na Tahmid," kwa mnasaba wa ujio wa siku kumi za kwanza za Dhul-Hijjah 1446 H – 2025 M Idd al-Adha iliyobarikiwa. Matembezi hayo yalihitimishwa kwa dua ya kugusa moyo ya Sheikh Ahmed Al-Shamali.
Hizb ut Tahrir Wilayah ya Kenya imechapisha toleo jipya la Jarida la UQAB kwa ajili ya mwezi wa Juni 2025 M.
Shirika la Afya Duniani (WHO) limefichua kuwa takriban wagonjwa 60,000 wa kipindupindu wamerekodiwa nchini Sudan, na kusababisha vifo vya zaidi ya 1640, likionya madhara ya kuporomoka kwa mfumo wa afya nchini humu. Ufichuzi huu unakuja wakati kipindupindu kikienea kwa kasi katika Jimbo la Khartoum, ambapo maambukizi mapya yanazidi 90% ya jumla ya nchi, haswa huko Karari, Omdurman, na Ombada. Mnamo Jumanne, 27/5/2025, Wizara ya Afya ya Sudan ilitangaza kurekodi kesi 2729, pamoja na vifo 172, katika wiki moja. Waziri wa Afya wa Sudan Dkt. Haitham Mohamed Ibrahim alisema kuwa kuenea kwa kipindupindu jijini Khartoum kunatokana na kuzorota kwa hali ya mazingira na matatizo ya vyanzo vya maji ya kunywa. Wakati huo huo, Waziri Mkuu mpya Kamil Idriss anatoa wito kwa WHO, huku ripoti za vyombo vya habari zikisema kuwa anawasiliana na Mkurugenzi Mkuu wa WHO Tedros Adhanom ili kujadili kusaidia juhudi za kudhibiti kipindupindu nchini humu.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, inamuomboleza kwa macho yenye machozi na nyoyo ziliyoridhika na mapenzi ya Mwenyezi Mungu marehemu: Al-Kamel Mohammad Khair