Ugumba wa Kuweka Uaminifu Wetu kwa Umoja wa Mataifa
- Imepeperushwa katika Siasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Miaka 25 imepita sasa ambapo zaidi ya wavula na wanaume wa Kiislamu 8,000 kutoka Srebrenica, mji mdogo, ulio na wakaazi wengi mno, nchini Bosnia, waliuwawa katika yale yanayo onekana sasa kuwa ndio mauwaji mabaya zaidi katika ardhi ya Ulaya tangu Vita vya Pili vya Dunia.