Alhamisi, 09 Shawwal 1445 | 2024/04/18
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Demokrasia: Mungu Aliyefeli

         Amerika iko njia panda huku timu za wanasheria wa Trump na Biden wakichuana mahakamani kuhusiana na uchaguzi ghushi. Kwa upande mwingine, kampeni zao na vyombo vya habari vinavyowaunga mkono viko katika vita vya kipropaganda ili kujipigia upatu. Wafuasi wao hawana furaha na wanaandamana wakidai ushindi wao.

Soma zaidi...

Kila Mmoja ni Lazima Atazame Ameandaa Nini Kesho, Wewe Pia Erdogan!

Rais Erdogan, ambaye amehudhuria mazishi ya Waziri Mkuu wa zamani Mast Yilmaz, alisema: “Kwa maombi, rais wetu amefariki kwenda katika uzima wa milele. Mwenyezi Mungu amsamehe mapungufu yake. Kila nafsi hai itakufa siku moja… Tunahitaji kujiandaa kwa ajili Akhera. Kama ambavyo tuko hapa kwa mazishi ya Bwana Mesut, sisi pia tutafikwa na mwisho huu huu. Mwenyezi Mungu atujaaliye tuwe tayari kwa mapumziko haya ya jeneza.”

Soma zaidi...

Siku ya Kila Mwaka ya Ukumbusho Utekelezaji Wake Umeharamishwa Nchini Kazan

Kamati ya Utendaji ya Kazan imefutilia mbali ruhusa ya Kituo cha Umma cha Tatar (ATPC) kufanya mnamo Oktoba 18 mkutano wa hadhara katika bustani ya Tinchurin kwenye hafla ya "Hәter kөne" - siku ya kila mwaka ya ukumbusho wa watetezi wa Kazan waliokufa kutoka kwa vikosi vya Kutisha vya Ivan mnamo 1552.

Soma zaidi...

Madini ni Mali ya Umma: Ni Umma Pekee Ndio Unaopaswa Kunufaika Sio Kampuni za Ufyonzaji za Kirasilimali

Mnamo tarehe 13/10/2020, Shirika la madini la Twiga Minerals Corporation, ambalo linasemekana kuwa ubia kati ya serikali ya Tanzania na shirika la dhahabu la Barrick Gold Corporation (NYS: GOLD) (TSX: ABX), limelipa mgao wa pesa taslimu wa $250 milioni kulingana na kujitolea kwa Barrick katika ushirika huo.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu