Vichwa Vya Habari 02/12/2020
- Imepeperushwa katika Vichwa vya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran limethibitisha kuuliwa kwa mwanasayansi wa nyuklia Mohsen Fakhrizadeh katika shambulizi la gari lililofanyika tarehe 27 Novemba 2020.