Jumanne, 02 Dhu al-Hijjah 1447 | 2026/05/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu
kesho kutwa

kesho kutwa

Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon: Kongamano “Khilafah ndio Mkombozi wa Nchi na Mtetezi wa Waja”

Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 100 M (103 H) ya kuvunjwa Dola ya Kiislamu (Khilafah) na chini ya giza la uvamizi na mauaji ya halaiki yanayoendelea dhidi ya watu wetu katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina), Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon ilifanya kongamano lenye kichwa: “Khilafah ndio Mkombozi wa Nchi na Mtetezi wa Waja”

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Makongamano na Amali kwa Mnasaba wa Kumbukumbu ya Miaka Mia Miladiya ya Kuvunjwa Khilafah!

Kwa mnasaba wa miaka 100 M (103 H) ya makafiri wakoloni kwa msaada wa makhaini wa Kiarabu na Kituruki, kuivunja dola ya Kiislamu (Khilafah Uthmani) na kuuondoa mfumo wa utawala katika Uislamu (Khilafah) kutoka katika maisha ya Umma wa Kiislamu, Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki inaandaa msururu/ wa makongamano, semina na mikutano mikubwa katika ngazi ya Uturuki.

Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu