Jumapili, 06 Dhu al-Qi'dah 1446 | 2025/05/04
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Mkutano wa kilele wa Riyadh: Ushahidi kwa Usaliti wa Viongozi wa Waislamu dhidi ya Gaza na Lebanon

Zaidi ya siku 400 baada ya vita vya mauaji ya halaiki vilivyoanzishwa na umbile nyakuzi, halifu la Kiyahudi dhidi ya watu wetu huko Gaza, vita ambavyo havijawahi kushuhudiwa tangu Vita vya Pili vya Dunia, na kufuatia mauaji na uharibifu uliofuata nchini Lebanon, viongozi wa Waislamu walikutana jijini Riyadh kwa kile walichokiita kuwa ni “mkutano wa ajabu.” Matokeo, hata hivyo, hayakuwa chochote ila mfululizo wa maamuzi dhaifu ambayo yanaweza tu kusifiwa kuwa ya khiyana.

Soma zaidi...

Vikosi vyetu vya Jeshi vimejaa Maafisa Wenye Ikhlasi, Mashujaa na Wenye uwezo. Kutananeni na Kila Mmoja Wao Ili Kuwashajiisha Kuondoa Kila Kikwazo Kinachosimama Katika Njia ya Uhamasishaji Wao Katika Kuinusuru Gaza!

Moto wa vita umeangaza anga, na jambo hilo liko wazi mithili ya usiku na mchana. Kuwanusuru Waislamu wa Gaza na Palestina hakutatokea, bila ya zana za kivita za majeshi ya Waislamu. Majeshi yetu ndiyo yalio na uwezo huu. Basi ni nini sababu, enyi Waislamu, kwamba tusikutane na maafisa wa kijeshi tunaowajua kibinafsi, na kujadiliana na kila afisa mmoja mmoja? Kwa nini tusiwatembelee ndugu wa maafisa hawa na kuwahimiza wachukue hatua za haraka? Ummah lazima uyatake majeshi yake yaondoe kila ukuta, na kushinda kila kizuizi, kinachosimama kati yao, na uharibifu wa uvamizi wa Mayahudi.

Soma zaidi...

Sura Mpya ya Walaji Njama katika Astana 22 Imetanguliwa na Mkutano huko Tarnaba na Majadiliano kuhusu Kufungua Barabara na Vivuko vya Kimataifa

Enyi Wana Mapinduzi: Tusikilizeni, sisi ndugu zenu katika Hizb ut Tahrir Al-Nadheer Al-Aryan (mwonyaji wa wazi), ndugu zenu ambao mumeyaona maneno yao kuwa ya kweli na ambao kuona kwao ni kukubwa. Sisi hatuhitaji fadhila katika jambo hili juu yenu, kwani huu ni wajibu wetu na tutakutana nao kwa Mwenyezi Mungu Siku ya Kiyama. Tunakuombeni nyinyi, watu wetu, mufanyeni haraka kuregesha uamuzi wenu kutoka kwa waliouiba, kwani nchi na zana zao ni mikono yenye nia mbaya inayotaka kukuangamizeni.

Soma zaidi...

Ala za Kindani kama Kikaragosi cha Makafiri wa Magharibi katika Kutekeleza Sera Zake, na Hakuna Suluhisho kwa Watu wa Yemen isipokuwa kwa Kutekeleza Shariah ya Mwenyezi Mungu

Watu wetu wa Hadhramaut na Yemen yote lazima watambue kwamba uongozi wa kisiasa nchini Yemen, kaskazini na kusini, haujali matatizo na mahitaji yao. Kinyume chake, unazidisha tu mateso yao, iwe kupitia kuzorota kwa uchumi au kukosekana kwa huduma muhimu kama vile umeme, maji, na mahitaji mengine kwa maisha yenye staha. Ni lazima tuondoe uaminifu wetu kutoka kwa wao wote, kwani pindi wanapotenda, huitumikia Magharibi kafiri, na wanaponyamaza, wanapora mali ya nchi na watu wake bila ya uwajibikaji au uangalizi!

Soma zaidi...

Ushirikiano wa Mamlaka za Uholanzi pamoja na Watu Ovyo wa Mayahudi Umesalia Kuvama ndani ya Kumbukumbu ya Umma

Vyombo vya habari vya kimataifa vimeripoti vitendo vya kundi la wachochezi wa Kiyahudi wakati na baada ya mechi ya kandanda, kujihusisha na uchokozi dhidi ya Waislamu kuhusiana na kadhia kuu ya Umma wa Kiislamu, kadhia ya Palestina. Vitendo hivi viliibua hisia za kimaumbile kutoka kwa Waislamu wa mataifa mbalimbali na kutoka kwa raia waheshimiwa wa Uholanzi wenyewe.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Tanzania Yatoa Wito kwa Majeshi ya Waislamu Kuiokoa Gaza

Kufuatia kampeni ya zaidi ya mwaka ya mkaliaji kimabavu umbile la Kiyahudi, ushenzi na dhulma kwa Waislamu wa Gaza na ardhi jirani za Waislamu zinafanywa kwa msaada wa Marekani, na mataifa mengine ya Kimagharibi na ushirikiano wa vibaraka katika ardhi za Waislamu.Hizb ut Tahrir / Tanzania ilifanya visimamo baada ya swala ya Ijumaa katika sehemu mbalimbali kupinga ukatili wa umbile la Kiyahudi na kutoa wito kwa majeshi ya Waislamu hususan Misri, Jordan, Syria, Uturuki, Saudi Arabia nk, kusonga mara moja ili kuwaokoa Waislamu wa Gaza.

Soma zaidi...

Vikundi Tawala vya Pakistan vinamkaribisha Bwana wao Mpya wa Kikoloni, Trump, na Kumhakikishia Utayari wao wa Kutekeleza Maagizo yake

Nguvu ya Ummah haitatokana na mabadiliko ya siasa za ndani za dola kandamizi za kikoloni. Itatokana na kung'olewa kwa watawala vibaraka katika miji mikuu ya Waislamu. Ni wakati sasa wa kuanzishwa kwa mapinduzi ya Khilafah Rashida kwenye magofu ya tawala hizi za vibaraka. Kwa nini basi mabadiliko hayo bado hayajatokea jijini Islamabad, Enyi maafisa na askari wa Jeshi la Pakistani?!

Soma zaidi...

Wito wa Kushiriki katika Chaguzi za Kimagharibi ni Wito wa Kujioanisha ndani ya Mujtamaa za Kikafiri za Kimagharibi, na Kuzuia Ulinganizi wa Ujumbe wa Uislamu kwa Ulimwengu Mzima

Katika kila uchaguzi unaofanyika katika nchi za Magharibi, iwe ni uchaguzi wa urais au ubunge, wanaharakati wengi katika jamii za Kiislamu katika nchi za Magharibi hupaza sauti zao wakitaka kushiriki katika chaguzi za ndani katika nchi hizo. Wanaharakati hao wakiwemo masheikh na maafisa wa vituo vya Kiislamu wanafanya kile kinachofanana na kampeni za uchaguzi wakiitaka jamii kukipigia kura chama au mgombea fulani. Hawatoi wito wa kuacha kupiga kura, hata kama wagombea hawapendi “masheikh” hawa, wakisisitiza ulazima wa kushiriki katika uchaguzi, na kupiga kura, hata kama mpiga kura Muislamu hatajaza chochote katika karatasi yake ya kupigia kura.

Soma zaidi...

Kushiriki katika Mafunzo ya Kijeshi pamoja na Adui wetu ni Fedheha kwa Majeshi yetu na Usaliti kwa Watu wetu mjini Gaza

Mnamo tarehe 1/11/2024, Wizara ya Ulinzi ilitoa taarifa ikisema: “Tunisia itakuwa mwenyeji, kuanzia Novemba 4 hadi 15, wa zoezi la majini la kimataifa “PHOENIX EXPRESS 24”, kwa ushirikiano na Kamandi ya Marekani ya Afrika, kwa ushiriki wa takriban wanajeshi 1,100 na waangalizi wanaowakilisha nchi dada na rafiki 12, ambazo ni Algeria, Libya, Morocco, Mauritania, Senegal, Uturuki, Italia, Malta, Ubelgiji, Georgia, na Marekani, pamoja na Tunisia, nchi mwenyeji.”

Soma zaidi...

Mjumbe wa Marekani Anajihusisha na Udanganyifu na Uongo, Ikifichua Ukweli wa Vita kama Pambano lake na Uingereza

Udhalimu wa Marekani na jinai zake dhidi ya Sudan, na dhidi ya ardhi zote za Waislamu, hautakoma—kama vile inavyowapa Mayahudi silaha ili kuiangamiza Gaza na kuwaangamiza watu wake huku ikizungumzia amani na kusimamisha vita. Ukandamizaji huu utasitishwa tu na Khilafah Rashida kwa njia ya Utume, inayoongozwa na Khalifa mwadilifu anayeisimamisha Dini, kutekeleza Sharia, na kuwatetea waumini na wanaodhulumiwa.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu