Ramadhan inaingia huku Serikali za Kisekula zikifungua mafundo yaliyo salia ya Uislamu.
- Imepeperushwa katika Kenya
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Huku umma unapoingia katika mwezi mtukufu wa Ramadhan, Hizb ut-Tahrir Kenya ingependa kutuma risala zake za dhati kuwapongeza Waislamu wa Kenya na ulimwengu kwa jumla.