Hizb ut Tahrir Kamwe Haijawahi na Kamwe Haitakuwa Shirika la Kigaidi!
- Imepeperushwa katika Tanzania
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika msururu wa kipindi "Jihad na Ugaidi" kilicho peperushwa hewani na Radio/TV Iman mnamo 03/07/2017 (marudio yake kupeperushwa mnamo 06/07/2017), mwendesha kipindi Muhammad Issa aliituhumu kirongo Hizb ut Tahrir kwa tuhuma hatari baada ya kuitaja kuwa ni shirika la kigaidi.