Je, Lini Wanawake wa Kiislamu Watampata Mwenye Kuitikia Wito wao?!
- Imepeperushwa katika Kitengo cha Wanawake Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo Alhamisi, Wizara ya Afya ya Palestina ilitangaza vifo vya Wapalestina 9, akiwemo mwanamke mzee, na wengine kujeruhiwa na vikosi vya Kiyahudi, baada ya kuvamia mji wa Jenin na kambi yake.