Hizb ut Tahrir Tanzania Yazindua Kampeni Maalum ya Kulinda na Kutetea Aqida ya Kiislamu
- Imepeperushwa katika Tanzania
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo tarehe 2 Muharram 1447 H / 27 Juni 2025 M, Hizb ut Tahrir Tanzania mara baada ya swala ya Ijumaa ilizindua kampeni maalumu ya kitaifa katika Masjid Rahma Buguruni, jijini Dar es Salaam.