Ijumaa, 19 Ramadan 1445 | 2024/03/29
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Tunataka Haki kwa Mahabusu Sio Ahadi za Kilaghai Ambazo Kamwe Hazitekelezwi

Mahakama kwa mara nyingine imewabwaga chini ndugu zetu: Ust Ramadhan Moshi Kakoso (45), Waziri Mkaliaganda (37) na Omar Salum Bumbo (55) wanachama wa Hizb ut Tahrir Tanzania ambao walitekwa, wakabambikiwa kesi ya ‘ugaidi’ na bado wako kizuizini kwa miaka minne na nusu sasa kwa kisingizio cha ‘uchunguzi unaendelea’ huku wakinyimwa haki zao za msingi kama kutembelewa na ndugu zao na kuletewa chakula cha nje ya mahabusu.

Soma zaidi...

Taasisi za Fedha za Kimataifa Zinafanyia Kazi Ajenda ya Kiunyonyaji

Katika kipindi kisichozidi mwaka mmoja tangu kushika mamlaka ya uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Samia Suluhu tayari serikali imeshachukua mkopo wa kiasi cha billioni $3 ikihusisha kinachoitwa mifuko ya mikopo yenye takhfifu na pia kutoka katika mfuko wa kujifariji na majanga kutoka Benki ya Dunia, Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB).

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu