Kitabu cha “Dola Isiyomkinika” Uwongo, Ghilba, na Dhana Zisizomkinika
- Imepeperushwa katika Khilafah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika kipindi cha “mahojiano”, mnamo Disemba 12 na 19, 2021, Al-Jazeera ilipeperusha mahojiano na Dkt. Wael Hallaq yakiwa katika mfululizo wa matukio mawili kuhusu kitabu chake, Dola Isiyomkinika: Uislamu, Siasa, na Mashaka ya Kimaadili ya Kisasa.