Jukumu Letu kama Waislamu kwa Majeraha ya Ummah Yanayochuruzika Damu
- Imepeperushwa katika Khilafah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kiwango cha misiba na maafa yanayowakabili Waislamu kutokana na kukosekana Dola ya Khilafah, ambayo ni yenye kuuhifadhi Uislamu na kuukinga dhidi ya njama za maadui kutoka kwa Waislamu, kimekuwa wazi.



