Kwa Hakika Pamoja na Uzito upo Wepesi!
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mapambano baina ya Haki na Batil yamekuwepo tokea Adam (as) alipoumbwa na yatakuwepo hadi Siku ya Hukumu.
Mapambano baina ya Haki na Batil yamekuwepo tokea Adam (as) alipoumbwa na yatakuwepo hadi Siku ya Hukumu.
Katika Mkutano wa 41 wa Wakuu wa nchi za Ghuba GCC, Saudi Arabia na Qatar zimerejesha mahusiano zikihitimisha “ugomvi” wa miaka mitatu baina ya nchi mbili hizi.
Miaka 100 imepita tokea tarehe 28 Rajab ya 1342 H, ambapo Khilafah ya Uthmaniya, iliokuwa mrithi wa Dola ya Kiislamu iliyoasisiwa na Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) katika Madinatul Munawwarah, kuvunjwa.
Miaka 100 ya Ufisadi, Mporomoko, Vita, Uharibifu na Tabu
Miaka 100 Tangu Kuvunjwa kwa Khilafah: Unafanya Nini Kuirudisha?
Namna Khilafah Ilivyo Vunjwa kwa Kifupi
Tunasikia, tunasoma na hata kuishi nazo, ni athari za kukosekana kwa Khilafah na dola ya Kiislamu inayohukumu kwa Uislamu.
Kwa kuwa ushuhuda wa Waislamu wanne wa wema wa Muislamu unatosha kumuingiza peponi, Naveed Butt ana ushuhuda kama huo kutoka kwa maelfu ambao wameingiliana naye kibinafsi.
Tutafuteni Radhi za Mwenyezi Mungu (swt) Katika Kila Jambo, Tutimize Lengo Lake Kama Mwenyezi Mungu (swt) Alivyotuamrisha
Tunapoiangalia dunia, tunaona makundi ya nchi washirika yakiwa yanapingana kila moja, na tutashangazwa juu ya tofauti itayokuwepo kama kutakuwa na Dola ya Khilafah katika mchanganyiko huo.