Jumamosi, 17 Muharram 1447 | 2025/07/12
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Tumechomwa Kisu Mbele Yetu

Mkataba wa amani wa wiki iliopita baina ya dola ya Mayahudi, Bahrain na Imarati ulikuwa ni mchomo ndani ya moyo wa kadhia ya Palestina na ni pigo kwa Ummah wa Kiislamu – ambao kwa kweli unatamka hivi, hamu yetu kuu zaidi ya Ummah ni kana kwamba si halali na isiostahili umoja wa Waarabu na Waislamu.

Soma zaidi...

Uislamu: Dawa ya Ubaguzi wa Rangi

Machafuko ya 2020 ya Maisha ya Weusi ni ya Kuzingatiwa (Black Lives Matter) hivi sasa yamefikia kwenye mwezi wake wa nne, yakiweka kivuli kirefu juu ya uchaguzi wa urais wa Amerika. Machafuko ya umma yaliripuka kutokana na kifo cha George Floyd mnamo tarehe 25 Mei 2020 na yamechochewa kwa miongo ya miaka ya ubaguzi wa kitaasisi.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu