Kumbuka kuwa Kifo ni Hakika na Sababu yake ni Ajal na si Chengine!
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kifo na mwisho wa maisha haya imekuwa ni kitu kisicho cha maumbile na kiko mbali.
Kifo na mwisho wa maisha haya imekuwa ni kitu kisicho cha maumbile na kiko mbali.
Funzo moja muhimu ambalo virusi vya Korona vimeifunza dunia, ni kuwa mmoja ya mkaazi wake mdogo kabisa ameweza kuvuruga maisha kama tunavyo yafahamu.
Kama tutaichunguza historia ya maambukizi kwa upande wa muda na mahala, tungeweza kuona kuwa mataifa hayakuwa huru kutokana na udharura na kuenea, kama tauni, ikiwemo tauni nyeusi na homa ya mafua ya aina zote...
Mara nyingi huweza kuwa ni vigumu kuona hasara, misiba, na mabalaa ikiwemo maambukizi ya sasa, kwa namna yoyote isiyokuwa ile isiopendeza.
Maafisa wa afya wameshughulishwa na matokeo ya kutowiana juu ya Waamerika weusi.
Mateso katika aina ya mojawapo ya viumbe vidogo kabisa vya Mwenyezi Mungu (swt), kirusi, kimefichua batili ya Urasilimali na itikadi ya kisekula ambayo kwayo umejengwa juu yake, utenganishaji wa dini na maisha.
Kuna watu wengi wanashughulishwa sana na kuvunjika moyo wanapopatwa na madhara, shida au magonjwa.
Propaganda ya serikali za ulimwengu imewazamisha watu kwenye COVID-19. Hofu iliyoenea imewafunika watu akili zao na zimedumu kushughulishwa katika kupambana na maambukizi ya COVID-19.
Tangazo la Beijing na Uingizaji wa Siasa Katika Masuala ya Wanawake
Kutokana na hali ya sasa ya Covid-19, inaonekana kuna mkazo mkubwa juu ya kuhifadhi uchumi kuliko kuhifadhi maisha, ambapo Hazina ya Taifa kwa sasa inajaza matrilioni ya dolari ili kuhakikisha uchumi unabakia laini.