Alhamisi, 18 Ramadan 1445 | 2024/03/28
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Mfumo Katili Nchini India Waongeza Chumvi Mauaji ili Kuidhinisha Mashini yake ya Uovu Inayoyumbayumba?

Huku India ikipitia baadhi ya maonyesho muhimu ya uchaguzi katika majimbo yake tofauti tofauti kama Himachal Pradesh, Gujarat na uchaguzi mkuu wa ndani lakini wenye hisa nyingi kwa Mashirika ya Manispaa ya Delhi, inakuwa chanzo cha masuala machafu, yenye uvundo na ugomvi ambayo ni sarafu za uchaguzi zenye uwezo wa kununua tena kura ili kusaidia kuunga mkono mfumo uliofeli.

Soma zaidi...

Afya Yetu ni Utajiri Wetu

Uvumbuzi, ubunifu na uboreshaji wa teknolojia unaendelea kushuhudiwa kwa kasi katika kila nyanja ya maisha. Imepelekea kiasi kwamba katika karne hii ya ishirini na moja, wanadamu wamepiga hatua kubwa katika ulingo wa kisiasa, kijamii, kiuchumi na kielimu kutokana na kuikumbatia teknolojia.

Soma zaidi...

Qatar Inahamasisha Mashini yake Yenye Nguvu ya Vyombo vya Habari Kuwanyamazisha Wanaokashifu Matumizi Makubwa kwa Kombe la Dunia kwa Kudai Kupatiliza Faida ya Fursa hii Kulingania Uislamu

Mara tu habari za matumizi makubwa ya Qatari kwa maandalizi ya Kombe la Dunia kuenea, ambayo yalifikia dolari bilioni 220 (mara 19 ya kima ambacho Urusi ilitumia kwenye Kombe la Dunia lililopita mnamo 2018), makala mingi yalionekana kujaribu kuhalalisha matumizi haya na kuonyesha juhudi za Qatar za kuitumia hafla hii ya michezo na hitaji lake kubwa kueneza Hadith za Mtume (saw), kupaza sauti ya adhan ya swala na kumleta Mlinganizi Zakir Naik nk.

Soma zaidi...

Joyland: Kukanusha Sababu Saba Zilizojadiliwa Zaidi zenye Kupendelea Kuonyeshwa Filamu Hii

Miongoni mwa mabishano mengine mengi, ubishani mpya umeikumba nchi yetu kuhusu filamu ijayo, ya Joyland[1] na marufuku yake inayobishaniwa[2]. Filamu hiyo, kabla ya kutolewa rasmi, tayari imeshinda tuzo 4 kuu, miongoni mwazo tuzo ya 'heshima' ya Tamasha la Filamu la Cannes katika vigawanyo viwili, miongoni mwao ni kigawanyo cha Queer Palm kilichotolewa kwa maudhui husika ya LGBT[3] na tuzo ya jury iliyosifiwa sana[4].

Soma zaidi...

Athari Pana, Hatari za Usalama za Msukosuko wa Kisiasa wa Pakistan

Msukosuko wa sasa wa kisiasa nchini Pakistan kimsingi haukufungika kwenye mzozo kati ya PTI ya Imran Khan na serikali ya PDM. Haijafungika hata kwenye mvutano kati ya vikundi vya jeshi lenye nguvu. Msukosuko wa kisiasa una athari pana zaidi. Inapanuka ili kuwezesha malengo na maslahi ya Marekani katika eneo hili, kwa wakati huu. Hii ni bila kujali kama uwezeshaji huu ni wa kubuniwa kimakusudi, au kwa matokeo ya bahati mbaya, ya kusikitisha.

Soma zaidi...

Tawakkul (Kumtegemea) Mwenyezi Mungu: Sababu nyuma ya Mafanikio Makubwa ya Umma wa Kiislamu

Ukisoma historia ya Umma wa Kiislamu, mtu ataona ufunguzi mkubwa ambao ulipitia, ambao hakuna taifa jengine lililowahi kuupata. Waislamu walitoka Bara ya Arabu na kupigana na dola kubwa duniani kwa wakati mmoja, Dola ya Kirumi, Himaya ya Byzantine na Himaya ya Kifursi. Anapoangalia hili mwanzoni mtu atasema: watu hawa wenye kichaa ni kina nani?

Soma zaidi...

Je! Utawala wa Kifalme Utaweza Kubakia Hai?

Kifo cha Malkia Elizabeth II kimeifanya Uingereza kuingia katika kipindi cha maombolezi ya pamoja. Upeperushaji mpana wa mazishi na utawala wa malkia wa miongo saba umeshughulisha watu. Kumekuwa na mihemko na rambirambi kutoka kote ulimwenguni huku wengi wakimuona Malkia Elizabeth II kama mtu thabiti katika siasa za Uingereza.

Soma zaidi...

Hukmu za Uislamu kuhusiana na Jinsia, Jinsia Isiyofahamika, na Kubadili Jinsia

Mnamo tarehe 5 Septemba 2022, Seneta wa Pakistan Mushtaq Ahmad aliwasilisha mswada wa marekebisho katika Sheria ya Kuwalinda Wanaobadili Jinsia, 2018, kwa Kamati ya Kudumu ya Seneti ya Haki za Kibinadamu. Katika mkutano huo, Seneta Mushtaq Ahmad, alisema kuwa, "Transgender ni neno la Kimarekani, halina nafasi katika Uislamu, na sheria kuhusu jamii ya watu waliobadili jinsia ni kinyume na Qur'an na Sunnah na itakuza ushoga."

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu