Alhamisi, 11 Dhu al-Hijjah 1447 | 2026/05/28
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Tangazo la Matokeo ya Uchunguzi wa Mwezi Mwandamo wa Shawwal 1447 H na Hongera kwa Idd Al-Fitr Iliyobarikiwa

Baada ya kuchunguza mwezi mwandamo wa Shawwal katika usiku huu mtukufu, usiku wa Alhamisi, kuonekana kwa mwezi mwandamo kumethibitishwa kwa kuonekana halali kisharia katika baadhi ya nchi za Waislamu. Kwa hivyo, kesho Alhamisi itakuwa siku ya kwanza ya mwezi wa Shawwal na siku ya kwanza ya Idd al-Fitr iliyobarikiwa.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Amali kwa Mnasaba wa Kumbukumbu ya Miaka 105 ya Kuvunjwa Khilafah

Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 105 H (102 M) ya kuvunjwa kwa Dola ya Kiislamu (Khilafah Uthmani) na wakoloni makafiri, wakisaidiwa na wasaliti wa Kiarabu na Kituruki, na kufutwa kwa mfumo wa utawala wa Kiislamu (Khilafah) kutoka kwa Ummah wa Kiislamu, na kugawanyika kwa ardhi za Waislamu kuwa vidola dhaifu vinavyotawaliwa na vibaraka wa wakoloni makafiri, Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki iliandaa msururu wa semina na mikutano ya wakati mmoja katika maeneo 50 kote nchini Uturuki chini ya kichwa: “Khilafah si Khiyari, bali ni Dharura ya Kidini!”

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu