Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Huku Mwezi wa Ramadhan, Mwezi wa Ushindi, Unapokaribia, Umma na Majeshi yake lazima Yakabiliane na Mfumo wa Kilimwengu wa Kidhalimu wa Marekani!
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ramadhan ni mwezi ambao ndani yake Umma wa Kiislamu ulishinda maadui wengi wenye nguvu. Hebu Waislamu na waregeshe hukmu kwa Kitabu cha Mwenyezi Mungu ﷻ katika mwezi wa Ramadhan, na warudishe ushindi dhidi ya maadui, kwa kumtegemea Mwenyezi Mungu ﷻ.