Ziara ya Mfalme Charles: Muendelezo wa “Mzigo wa Mtu Mweupe”
- Imepeperushwa katika Kenya
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mfalme Charles III ameanza ziara ya siku nne katika koloni ya zamani, Kenya. Hii ni ziara ya kwanza ya mfalme huyo tangu kutawazwa kwa koloni zozote za Uingereza. Ziara hiyo inajiri wakati mateso, mauaji na unyakuzi mkubwa wa ardhi ambayo bado ni ya raia wa Uingereza na makampuni unatawala rai jumla ya Kenya.