Uchochezi na Uenezaji wa Sumu za Kikabila ni Ada ya Siasa ya Kidemokrasia Iliyofeli
- Imepeperushwa katika Kenya
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Seneta wa Meru anakabiliwa na mashtaka ya madai ya matamshi ya uchochezi aliyoyatamka kwenye mkutano wa kisiasa wa naib rais William Ruto huko Eldoret.