Tamko la Mwenyezi Mungu (swt) Kuhusiana na Dalili Zote Zinazotuzunguka katika Tendo la Uumbaji
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mwenyezi Mungu (swt) ameteremsha Aya nyingi zinazoelekeza wanaadamu kuzingatia vyote vinavyowazunguka, kufikiria na kuzingatia maumbile yao, kuwa ni tendo la Uumbaji.