Uhalali wa Kimataifa Utatupeleka Wapi?
- Imepeperushwa katika Siasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ndugu Naveed Butt, msemaji rasmi wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan hivi sasa ana umri wa miaka 52, ametekwa nyara na mawakala wa utawala wa Pakistan mnamo 11 Mei 2012 kutoka barabara za Lahore mbele ya watoto wake wakati akiwarudisha kutoka shule.
Baada ya kukombolewa Kabul, mjadala umeanza kuhusiana na hitajio la Khilafah katika eneo hilo ikiwa hatua inayofuata ni kuunganisha mataifa yaliopo kuwa ni dola moja.
Kuokoa adhabu isiyo ya haki kwa kuulingania Uislamu pamoja na Hizb ut Tahrir, Hafizov Asgat aliongezewa miaka mengine 10 gerezani hadi kufikia miaka 19.
Katika makala yaliyochapishwa mnamo Julai 5, Amerika ilitangaza kwamba imeondoka Kambi ya Anga ya Bagram.
Haki za Waislamu hazirejeshwi kupitia unyenyekevu, ulegezaji msimamo, diplomasia na mapatano.
Mnamo Julai 27, shirika la Amnesty lilichapisha makala inayoeleza kuwa Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini Syria unafanyakazi moja kwa moja na kundi la – Umoja wa Kitaifa wa Wanafunzi wa Syria (NUSS) – ambalo linatuhumiwa kwa kuusaidia utawala wa Assad katika mauwaji yake ya halaiki dhidi ya wasio na hatia wanaopinga utawala wake nchini humo.
Shireen Mazari karibuni aliandika nukuu ya tweet kuhusiana na mauwaji ya kinyama ya msichana anayeitwa Noor Mukaddam ambayo yameogofya nchi nzima.
Wakati Taliban ikijikusanyia wilaya zaidi na kusonga kuelekea Kabul, serikali ya India imeendelea kukosa subira kwa kuwa ushawishi wake jijini Kabul utafutika kabisa.