Mwaliko wa Kuhudhuria na Kushiriki katika Kikao cha Masuala ya Ummah
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Sisi katika Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan tuna furaha kuwaalika wanahabari, wanasiasa, na wale walio na hamu na masuala ya umma kuhudhuria na kushiriki katika Kikao cha Masuala ya Umma cha kila mwezi, ambacho mwezi huu kitakuwa kwa kichwa: Amerika Yatafuta Kurudia Taswira ya Libya kwa Kutenganisha Darfur



