Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan Yaandaa Hotuba ya Kisiasa jijini Khartoum
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kama sehemu ya kampeni yake ya kukwamisha mpango wa kuichana Sudan kwa kutenganisha Darfur, Mashababu wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan walitoa hotuba ya kisiasa jijini Khartoum, katika eneo la Souq al-Dukhainat al-Awamirah, Jumamosi asubuhi, tarehe 4 Oktoba 2025.



