Ufisadi wa Mfumo Huzalisha Ufisadi katika Masuluhisho Sera ya…
Jumatano, 10 Dhu al-Hijjah 1447 - 27 Mei 2026
Serikali ya Shaea Al-Zandani mnamo Jumanne, 19/05/2026, ilianzisha hatua mpya ya kiuchumi ambapo ilipandisha bei ya dolari ya ushuru wa forodha kwa zaidi ya 100%, kutoka riyali 750 hadi riyali 1,550, na kuongeza bei ya chombo cha dizeli cha lita 20 kwa 24.5%, ikiruka kutoka riyali 29,500 hadi 36,000. Kisha ilijaribu kuwaziba macho watu wa Yemen kwa kuidhinisha posho ya gharama ya maisha ya 20% kwa wafanyikazi wa sekta ya umma, pamoja na kuwapa nyongeza yao ya kila mwaka inayostahili kwa miaka ya 2021-2024, na kufanya marekebisho ya viwango vya kazi ambayo yalikuwa yamesimamishwa kwa zaidi ya miaka 13.
Salamu za Idd Idd ni Wakati Ambapo Furaha na Huzuni…
Siku hizi Idd al-Adha inafika, ambapo furaha na huzuni zimechanganyika. Furaha katika mwitikio wa waumini…
Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 601
Vichwa Vikuu vya Toleo 601
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Imezindua tena…
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwatangazia wafuasi na wageni wake katika…
Pongezi kutoka kwa Amiri wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni Mkubwa…
Wapendwa ndugu na dada: Idd hii inakuja huku uvamizi wa Mayahudi, unaoungwa mkono na Amerika…
Pongezi kwa Idd ul-Adha Iliyobarikiwa 1447 H
Kutoka kwa Mtume (saw) ambaye amesema: «إِنَّ أَعْظَمَ الْأَيَّامِ عِنْدَ اللهِ يَوْمُ النَّحْرِ» “Hakika siku…




