Enyi Ummah wa Kiislamu na Majeshi Yake: Ikiwa Hamkasirishwi…
Jumapili, 14 Dhu al-Hijjah 1447 - 31 Mei 2026
Mnamo Jumatano, 27/5/2026, vyombo vya habari na mitandao ya kijamii vilirusha picha zinazoonyesha vikosi vya umbile la Kiyahudi vikimshambulia kikatili mwanamke mchanga wa Kipalestina huko Bab Hutta, moja ya malango ya Msikiti mtukufu wa Al-Aqsa, vikimnyang'anya kitambaa chake cha kichwani kwa nguvu kabla ya kumkamata. Tukio hili linajiri huku kukiwa na ongezeko la ukiukwaji wa sheria na hatua za usalama ulioongezeka kutoka kwa vikosi vya uvamizi katika milango ya kuingia katika Jiji la Kale la Al-Quds na malango ya Msikiti wa Al-Aqsa, sanjari na Idd al-Adha. Waliweka vituo vya ukaguzi na kuchunguza vitambulisho vya wapita njia, wakizuia idadi kubwa ya...
Jibu kwa Mwandishi wa Makala (Usekula na Ugumu wa Historia…
Uislamu ni itikadi ya kiroho na kisiasa ambayo ilikuja kushughulikia matatizo ya wanadamu, kwa kutambua…
Vikosi vya Msaada wa Haraka Vinafanya Mauaji Dhidi ya Watu…
Mnamo Alhamisi na Ijumaa, Mei 28 na 29, 2026, Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF)…
Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 603
Vichwa Vikuu vya Toleo 603
Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 602
Vichwa Vikuu vya Toleo 602
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Imezindua tena…
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwatangazia wafuasi na wageni wake katika…




