Jumamosi, 13 Dhu al-Hijjah 1447 | 2026/05/30
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Makala Mpya

Ufisadi wa Mfumo Huzalisha Ufisadi katika Masuluhisho  Sera ya Ufukarishaji: Zawadi ya Idd al-Adha kutoka kwa Watawala kwa Watu wa Yemen

Ufisadi wa Mfumo Huzalisha Ufisadi katika Masuluhisho Sera ya…

Jumatano, 10 Dhu al-Hijjah 1447 - 27 Mei 2026

Serikali ya Shaea Al-Zandani mnamo Jumanne, 19/05/2026, ilianzisha hatua mpya ya kiuchumi ambapo ilipandisha bei ya dolari ya ushuru wa forodha kwa zaidi ya 100%, kutoka riyali 750 hadi riyali 1,550, na kuongeza bei ya chombo cha dizeli cha lita 20 kwa 24.5%, ikiruka kutoka riyali 29,500 hadi 36,000. Kisha ilijaribu kuwaziba macho watu wa Yemen kwa kuidhinisha posho ya gharama ya maisha ya 20% kwa wafanyikazi wa sekta ya umma, pamoja na kuwapa nyongeza yao ya kila mwaka inayostahili kwa miaka ya 2021-2024, na kufanya marekebisho ya viwango vya kazi ambayo yalikuwa yamesimamishwa kwa zaidi ya miaka 13.

Afisi ya Habari

Habari za Dawah

Pongezi kwa Idd ul-Adha Iliyobarikiwa 1447 H

Pongezi kwa Idd ul-Adha Iliyobarikiwa 1447 H

Jumatano, 10 Dhu al-Hijjah 1447 - 27 Mei 2026

Kutoka kwa Mtume (saw) ambaye amesema: «إِنَّ أَعْظَمَ الْأَيَّامِ عِنْدَ اللهِ يَوْمُ النَّحْرِ» “Hakika siku tukufu zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu ni siku ya Arafah”, basi kwa mnasaba huu uliobarikiw...

Pongezi kutoka Kote Ulimwenguni kwa Mnasaba wa Idd ul-Adha Iliyobarikiwa 1447 H

Pongezi kutoka Kote Ulimwenguni kwa Mnasaba wa Idd ul-Adha Iliyobarikiwa 1447 H

Jumanne, 10 Dhu al-Hijjah 1447 - 26 Mei 2026

Pongezi kutoka Kote Ulimwenguni kwa Mnasaba wa Idd ul-Adha Iliyobarikiwa 1447 H ...

Hizb ut Tahrir / Amerika: Ujumbe wa Idd al-Adha 1447!

Hizb ut Tahrir / Amerika: Ujumbe wa Idd al-Adha 1447!

Jumatano, 10 Dhu al-Hijjah 1447 - 27 Mei 2026

Katika Idd hii iliyobarikiwa, Hizb ut Tahrir / Amerika inatoa salamu zake za dhati kwenu na wapendwa wenu. Mwenyezi Mungu akubali amali zenu njema, atupe rehema zake, na atulinde kutokana na adhabu ya...

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Pongezi za Kitengo cha Wanawake kwa Mnasaba wa Ujio wa Idd ul-Adha Iliyobarikiwa 1447 H

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Pongezi za Kitengo cha Wanawake kwa Mnasaba wa Ujio wa Idd ul-Adha Iliyobarikiwa 1447 H

Jumatano, 10 Dhu al-Hijjah 1447 - 27 Mei 2026

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Pongezi za Kitengo cha Wanawake kwa Mnasaba wa Ujio wa Idd ul-Adha Iliyobarikiwa 1447 H ...

Habari

Watawala wa Pakistan Wanatoa Kile Ambacho Marekani Imekuwa Ikikiota Siku Zote na Kuiondoa Katika Hatari Yake

Watawala wa Pakistan Wanatoa Kile Ambacho Marekani Imekuwa Ikikiota Siku Zote na Kuiondoa Katika Hatari Yake

Jumanne, 9 Dhu al-Hijjah 1447 - 26 Mei 2026

Rais wa Marekani Donald Trump alitangaza mnamo Jumamosi, Mei 23, 2026, kwamba makubaliano na Iran yalikuwa karibu kukamilika, akisema, “Makubaliano yamejadiliwa kwa kiasi kikubwa, yanakaribia kukamili...

Pakistan yenye Nyuklia Ni Sehemu Isiyofutika ya Ummah wa Kiislamu, Yenye Uwezo wa Matokeo Katika Kiwango cha Kimataifa, Baada ya Kusimamishwa Khilafah Rashida

Pakistan yenye Nyuklia Ni Sehemu Isiyofutika ya Ummah wa Kiislamu, Yenye Uwezo wa Matokeo Katika Kiwango cha Kimataifa, Baada ya Kusimamishwa Khilafah Rashida

Jumapili, 7 Dhu al-Hijjah 1447 - 24 Mei 2026

Kitengo cha vyombo vya habari cha vikosi vya jeshi vya Pakistan, Inter-Services Public Relations (ISPR), kilitoa taarifa kwa vyombo vya habari mnamo tarehe 17 Mei 2026, kikijibu kuwepo tishio kutoka k...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu